Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Featured Image

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
utakalo lifanyike
duniani kama mbinguni.
Utupe leo mkate wetu wa kila siku,
utusamehe makosa yetu,
kama tunavyowasamehe na sisi waliotukosea.
Usitutie katika kishawishi,
lakini utuopoe maovuni.
Amina

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rose Kiwanga (Guest) on May 30, 2017

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Janet Sumaye (Guest) on April 4, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Joseph Kawawa (Guest) on March 14, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

James Malima (Guest) on February 18, 2017

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Janet Wambura (Guest) on February 16, 2017

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Joseph Mallya (Guest) on January 23, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Janet Sumaye (Guest) on December 21, 2016

Tembea kwa imani, si kwa kuona

James Malima (Guest) on July 29, 2016

Amina

Edwin Ndambuki (Guest) on July 8, 2016

Mwamini Bwana; anajua njia

Irene Akoth (Guest) on April 3, 2016

Neema na amani iwe nawe.

David Chacha (Guest) on March 11, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Linda Karimi (Guest) on February 21, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Janet Sumaye (Guest) on February 19, 2016

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Raphael Okoth (Guest) on January 22, 2016

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

David Nyerere (Guest) on December 19, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Ann Awino (Guest) on December 13, 2015

Neema ya Mungu inatosha kwako

Grace Majaliwa (Guest) on December 12, 2015

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Jacob Kiplangat (Guest) on December 5, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Joyce Mussa (Guest) on October 17, 2015

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Sharon Kibiru (Guest) on September 11, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Joyce Mussa (Guest) on September 2, 2015

Mwamini katika mpango wake.

Janet Wambura (Guest) on July 25, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Sharon Kibiru (Guest) on April 9, 2015

Imani inaweza kusogeza milima

Related Posts

SALA YA MTAKATIFU INYASI

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ... Read More

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About