Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Novena ya Noeli

Featured Image

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku wa Noeli, tar 24 Disemba. Inajulikana kama novena ya Mt. Andrea kwa sababu novena hii huanza kusaliwa katika siku ya kumbukumbu ya Mt. Andrea Mtume.

"IHESHIMIWE, NA IBARIKIWE, SAA ILE NA WAKATI ULE, AMBAO MWANA WA MUNGU, ALIZALIWA NA BIKIRA MBARIKIWA SANA, USIKU WA MANANE, KULE BETHLEHEM, WAKATI WA BARIDI KALI.
WAKATI HUO, UPENDE E MUNGU WANGU, KUSIKIA MAOMBI YANGU, NA KUNIJALIA YALE NINAYOYAOMBA KWAKO, KWA NJIA YA MASTAHILI YA MWOKOZI WETU YESU KRISTO, NA YA MAMA YAKE MBARIKIWA. AMINA. (Sali mara 15 kwa siku).

Inasadikika kuwa chochote uombacho kwa imani kwa sala hii utakipata mradi kipatane na mapenzi ya Mungu. Sali na watoto/ familia kuwatafakarisha na kuwaongezea matazamio juu ya sikukuu ya Noeli.

Isambaze sala hii kwa wengine.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Grace Minja (Guest) on April 22, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Elizabeth Mtei (Guest) on December 22, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Faith Kariuki (Guest) on November 2, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Benjamin Masanja (Guest) on August 8, 2017

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Fredrick Mutiso (Guest) on June 12, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

John Malisa (Guest) on April 1, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Robert Okello (Guest) on March 30, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Faith Kariuki (Guest) on March 25, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

John Lissu (Guest) on February 20, 2017

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Joy Wacera (Guest) on January 15, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Moses Kipkemboi (Guest) on November 27, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Robert Ndunguru (Guest) on November 22, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Edward Lowassa (Guest) on November 1, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Alice Mrema (Guest) on September 24, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Mary Njeri (Guest) on August 22, 2016

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Frank Sokoine (Guest) on August 22, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Rose Lowassa (Guest) on June 29, 2016

Sifa kwa Bwana!

Mary Kendi (Guest) on June 23, 2016

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Joy Wacera (Guest) on March 15, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Betty Cheruiyot (Guest) on March 11, 2016

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Susan Wangari (Guest) on March 10, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Paul Kamau (Guest) on February 28, 2016

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Elizabeth Mrema (Guest) on October 21, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Elizabeth Mrope (Guest) on August 12, 2015

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Grace Mligo (Guest) on April 26, 2015

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Related Posts

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)