Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Novena ya Noeli

Featured Image

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku wa Noeli, tar 24 Disemba. Inajulikana kama novena ya Mt. Andrea kwa sababu novena hii huanza kusaliwa katika siku ya kumbukumbu ya Mt. Andrea Mtume.

"IHESHIMIWE, NA IBARIKIWE, SAA ILE NA WAKATI ULE, AMBAO MWANA WA MUNGU, ALIZALIWA NA BIKIRA MBARIKIWA SANA, USIKU WA MANANE, KULE BETHLEHEM, WAKATI WA BARIDI KALI.
WAKATI HUO, UPENDE E MUNGU WANGU, KUSIKIA MAOMBI YANGU, NA KUNIJALIA YALE NINAYOYAOMBA KWAKO, KWA NJIA YA MASTAHILI YA MWOKOZI WETU YESU KRISTO, NA YA MAMA YAKE MBARIKIWA. AMINA. (Sali mara 15 kwa siku).

Inasadikika kuwa chochote uombacho kwa imani kwa sala hii utakipata mradi kipatane na mapenzi ya Mungu. Sali na watoto/ familia kuwatafakarisha na kuwaongezea matazamio juu ya sikukuu ya Noeli.

Isambaze sala hii kwa wengine.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Faith Kariuki (Guest) on November 2, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Benjamin Masanja (Guest) on August 8, 2017

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Fredrick Mutiso (Guest) on June 12, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

John Malisa (Guest) on April 1, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Robert Okello (Guest) on March 30, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Faith Kariuki (Guest) on March 25, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

John Lissu (Guest) on February 20, 2017

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Joy Wacera (Guest) on January 15, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Moses Kipkemboi (Guest) on November 27, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Robert Ndunguru (Guest) on November 22, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Edward Lowassa (Guest) on November 1, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Alice Mrema (Guest) on September 24, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Mary Njeri (Guest) on August 22, 2016

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Frank Sokoine (Guest) on August 22, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Rose Lowassa (Guest) on June 29, 2016

Sifa kwa Bwana!

Mary Kendi (Guest) on June 23, 2016

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Joy Wacera (Guest) on March 15, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Betty Cheruiyot (Guest) on March 11, 2016

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Susan Wangari (Guest) on March 10, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Paul Kamau (Guest) on February 28, 2016

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Elizabeth Mrema (Guest) on October 21, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Elizabeth Mrope (Guest) on August 12, 2015

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Grace Mligo (Guest) on April 26, 2015

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Related Posts

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M... Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya... Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About