Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Featured Image

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako, ukachagua Mapadri wawe Wachungaji na Viongozi wa roho za watu. Nakuomba sana; ubariki nia na bidii inayowapasa Mapadri wote katika kazi zao. Uwaongezee Utakatifu.

Uwatie moyo mzuri wenye mapendo makubwa kwako na roho za watu. Hivyo wakiisha kupata wenyewe Utakatifu, waweze kuwaongoza vizuri watu walio chini ya ulinzi wao, katika njia ya Utakatifu na furaha ya milele. Uwajalie neema zote za hali ya Upadri. Uwajalie ili waonyeshe kila siku ya maisha yao mfano wa kila fadhila ya mapendo na ya uaminifu katika Kanisa, kwa Baba Mtakatifu na kwa Maaskofu.

Yesu mpendelevu, uangalie kwa mapendo kazi na mateso ya Mapadri wako; ubariki na ustawishe mafundisho yao; wanapowafundisha watoto, wanapowahubiria watu, wanapowatuliza wakosefu watubu na wanapowasaidia wagonjwa na wale wanaokaribia mauti, Ee Yesu uwe pamoja nao. Uwakinge na hatari zote za roho na za mwili.

Mwokozi Yesu, ulijalie Kanisa liwe na Mapadri wengi walio Watakatifu. Uwajalie watoto na vijana wengi wasikie wito wa Upadri, uwatie furaha na Utakatifu na roho za Mapadri waliokufa uzijalie punziko la amani.

Kwa mimi mwenyewe Ee Yesu mpendelevu, naomba unijalie roho ya imani na utii mnyenyekevu ili niwaheshimu Mapadri kama Mawakili wa Mungu. Niwatii katika njia zote za wokovu wa roho yangu. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Faith Kariuki (Guest) on August 20, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Nancy Kabura (Guest) on August 16, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Elizabeth Mtei (Guest) on July 17, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Sarah Achieng (Guest) on June 22, 2017

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Peter Mwambui (Guest) on June 12, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Grace Majaliwa (Guest) on May 23, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Lucy Mushi (Guest) on March 29, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Anna Sumari (Guest) on December 31, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Peter Mwambui (Guest) on November 5, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

James Malima (Guest) on October 31, 2016

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Irene Akoth (Guest) on August 5, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

James Malima (Guest) on July 24, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Joyce Nkya (Guest) on July 5, 2016

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Grace Mushi (Guest) on May 17, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Grace Njuguna (Guest) on May 9, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Christopher Oloo (Guest) on February 17, 2016

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Mary Kendi (Guest) on January 6, 2016

Tumaini ni nanga ya roho

John Lissu (Guest) on January 6, 2016

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Agnes Lowassa (Guest) on November 14, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Sharon Kibiru (Guest) on September 4, 2015

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Anna Mahiga (Guest) on July 11, 2015

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Irene Makena (Guest) on June 28, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Joseph Njoroge (Guest) on June 7, 2015

Rehema hushinda hukumu

Related Posts

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About