Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sala ya kuomba Kifo chema

Featured Image

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

mnipokee saa ya kufa kwangu.

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

mnijalie nife mikoni mwenu.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Samuel Were (Guest) on November 25, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Bernard Oduor (Guest) on June 28, 2017

Mungu akubariki!

Dorothy Nkya (Guest) on June 13, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Andrew Mahiga (Guest) on April 12, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Joyce Aoko (Guest) on April 5, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Esther Nyambura (Guest) on March 26, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

James Malima (Guest) on March 19, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Jackson Makori (Guest) on November 11, 2016

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Lydia Mutheu (Guest) on October 13, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Charles Wafula (Guest) on October 11, 2016

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Rose Kiwanga (Guest) on May 24, 2016

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Lucy Kimotho (Guest) on May 13, 2016

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Chris Okello (Guest) on May 7, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

Lucy Kimotho (Guest) on April 12, 2016

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Samson Mahiga (Guest) on March 26, 2016

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Violet Mumo (Guest) on January 27, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Paul Ndomba (Guest) on December 18, 2015

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Alice Mwikali (Guest) on November 29, 2015

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Richard Mulwa (Guest) on November 1, 2015

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Jacob Kiplangat (Guest) on October 6, 2015

Rehema zake hudumu milele

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 14, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Mariam Kawawa (Guest) on June 22, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Rose Lowassa (Guest) on April 15, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Related Posts

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About