Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kanuni ya imani

Featured Image

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee, Bwana wetu;/ aliyetungwa kwa Roho Mtakatifu,/ akazaliwa na Bikira Maria,/ akateswa kwa mamlaka ya Ponsyo Pilato,/ akasulubiwa, akafa, akazikwa,/ akashukia kuzimu;/ siku ya tatu akafufuka katika wafu;/ akapaa mbinguni;/ amekaa kuume kwa Mungu Baba Mwenyezi;/ toka huko atakuja kuwahukumu wazima na wafu. Nasadiki kwa Roho Mtakatifu,/ Kanisa takatifu katoliki,/ ushirika wa Watakatifu,/ maondoleo ya dhambi,/ ufufuko wa miili,/ uzima wa milele. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Elijah Mutua (Guest) on August 19, 2017

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Jane Malecela (Guest) on July 24, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Susan Wangari (Guest) on July 2, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Ruth Kibona (Guest) on June 23, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Raphael Okoth (Guest) on June 21, 2017

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Carol Nyakio (Guest) on April 14, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Elizabeth Mrema (Guest) on April 2, 2017

Sifa kwa Bwana!

Charles Mrope (Guest) on March 9, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Robert Okello (Guest) on November 3, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Patrick Kidata (Guest) on October 22, 2016

Tembea kwa imani, si kwa kuona

George Tenga (Guest) on October 20, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Margaret Mahiga (Guest) on August 23, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Victor Mwalimu (Guest) on June 28, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Rose Amukowa (Guest) on April 1, 2016

Neema ya Mungu inatosha kwako

Joseph Kawawa (Guest) on March 5, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Chris Okello (Guest) on January 3, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Rose Waithera (Guest) on October 23, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Elizabeth Mtei (Guest) on September 26, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Andrew Mahiga (Guest) on August 23, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 18, 2015

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Elizabeth Mrope (Guest) on July 7, 2015

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Anthony Kariuki (Guest) on July 2, 2015

Mungu akubariki!

Diana Mumbua (Guest) on June 22, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Related Posts

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)

Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About