Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kuweka nia njema

Featured Image

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo neno tendo lote, Namtolea Mungu pote, Roho, mwili chote changu, pendo na uzima wangu, Mungu wangu nitampenda, Wala dhambi sitatenda, Jina lako nasifia, Utakalo hutimia, Kwa utii navumilia, Teso na matata pia, Nipe Bwana neema zako, Niongezee sifa yako, Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

David Nyerere (Guest) on July 23, 2017

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Elizabeth Malima (Guest) on July 20, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Alex Nyamweya (Guest) on July 10, 2017

Imani inaweza kusogeza milima

Diana Mallya (Guest) on February 6, 2017

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Patrick Akech (Guest) on February 4, 2017

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Nancy Kawawa (Guest) on January 6, 2017

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Mary Mrope (Guest) on December 3, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Wilson Ombati (Guest) on October 9, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Jane Muthoni (Guest) on September 2, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Anna Sumari (Guest) on August 21, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Faith Kariuki (Guest) on May 16, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Hellen Nduta (Guest) on February 1, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Esther Cheruiyot (Guest) on December 22, 2015

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Hellen Nduta (Guest) on December 21, 2015

Rehema hushinda hukumu

Jane Muthui (Guest) on December 11, 2015

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Victor Kimario (Guest) on November 12, 2015

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Stephen Amollo (Guest) on October 12, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Samson Mahiga (Guest) on October 2, 2015

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Daniel Obura (Guest) on September 8, 2015

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Jane Malecela (Guest) on August 18, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Victor Kimario (Guest) on June 12, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Peter Otieno (Guest) on April 27, 2015

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Michael Mboya (Guest) on April 6, 2015

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Related Posts

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About