Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sala ya Malaika wa Bwana

Featured Image

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu Maria,….

Ndimi Mtumishi wa Bwana, nitendewe ulivyonena. Salamu Maria, ……
Neno wa Bwana akatwaa Mwili, akakaa kwetu. Salamu Maria, …..

Utuombee, ee Mzazi Mtakatifu wa Mungu, tujaliwe ahadi za Kristo.

Tuombe:

Tunakuomba ee Bwana, utie neema yako mioyoni mwetu, ili sisi tuliojua kwa maelezo ya Malaika, kwamba, Kristo Mwanao amejifanya mtu: kwa mateso na Msalaba wake, utufikishe kwenye utukufu wa ufufuko. Tunaomba hayo kwa njia ya Kristo Bwana wetu, Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Charles Mrope (Guest) on June 22, 2017

Mungu ni mwema, wakati wote!

Catherine Naliaka (Guest) on June 19, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Samson Mahiga (Guest) on June 7, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Raphael Okoth (Guest) on April 25, 2017

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

John Mushi (Guest) on April 10, 2017

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Mary Sokoine (Guest) on March 28, 2017

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Zakaria (Guest) on March 10, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Margaret Anyango (Guest) on November 16, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Nora Lowassa (Guest) on November 2, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Irene Makena (Guest) on October 2, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Anna Malela (Guest) on September 26, 2016

Mungu akubariki!

Anna Mahiga (Guest) on August 17, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Christopher Oloo (Guest) on May 7, 2016

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

David Sokoine (Guest) on May 3, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 15, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Janet Sumari (Guest) on January 30, 2016

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

James Malima (Guest) on December 7, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Betty Akinyi (Guest) on November 15, 2015

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Alice Mwikali (Guest) on August 11, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Vincent Mwangangi (Guest) on July 9, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Joseph Kitine (Guest) on July 6, 2015

πŸ™πŸ™πŸ™

John Mushi (Guest) on June 12, 2015

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Lucy Mahiga (Guest) on May 1, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Related Posts

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

Sala ya kuomba Kifo chema

Sala ya kuomba Kifo chema

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na M... Read More

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About