Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sala kwa wenye kuzimia

Featured Image

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu, na kwa ajili ya Mama Yako asiye na doa, uwatakase kwa damu yako, watu wote wenye dhambi wanaokufa sasa, na watakaokufa leo.
Moyo wa Yesu uliozomia, uwahurumie watu wanaokufa X3.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Benjamin Kibicho (Guest) on June 18, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Lucy Mushi (Guest) on February 14, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Elizabeth Mrema (Guest) on June 10, 2017

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

George Tenga (Guest) on May 23, 2017

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Josephine Nduta (Guest) on May 13, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Kenneth Murithi (Guest) on May 10, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Mwanaidi (Guest) on August 14, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Frank Macha (Guest) on July 25, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Jackson Makori (Guest) on July 24, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Elizabeth Malima (Guest) on July 22, 2016

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Ruth Wanjiku (Guest) on June 17, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Frank Sokoine (Guest) on May 31, 2016

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Emily Chepngeno (Guest) on May 31, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Betty Kimaro (Guest) on April 30, 2016

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Nora Lowassa (Guest) on March 19, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 15, 2016

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Mary Kidata (Guest) on December 20, 2015

Sifa kwa Bwana!

Moses Mwita (Guest) on October 5, 2015

Nguvu hutoka kwa Bwana

Lucy Kimotho (Guest) on October 5, 2015

Neema ya Mungu inatosha kwako

Patrick Akech (Guest) on September 8, 2015

Rehema hushinda hukumu

Elizabeth Mtei (Guest) on July 8, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Jane Muthui (Guest) on May 1, 2015

Dumu katika Bwana.

Nancy Komba (Guest) on April 21, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Related Posts

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)