Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Featured Image

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti Takatifu ya Altare;/ pokea kitendo hiki cha kukuangukia kifudi fudi/ kama ishara ya tamaa niliyonayo ya kukuabudu Wewe/ bila kuchoka/ na kukushukuru kwa mapendo yako makubwa/ yasiyo na kipimo/ ambayo Moyo wako Mtakatifu sana/ unawaka katika Sakramenti Takatifu hii./ Siwezi kukushukuru vizuri zaidi/ kuliko kama ningetolea kwako/ matendo yangu yote ya kukuabudu/ unyenyekevu wangu/ uvumilivu na mapendo/ ambayo huu Moyo Mwabudiwa ulifanya,/ bado unafanya/ na utaendelea kufanya katika uzima wa milele mbinguni./ Ninaahidi kupitia Moyo huu,/ nitakupenda,/ nitakutukuza,/ na nitakuabudu kama nitakavyoweza./ Ninajiunganisha na hii Sadaka Takatifu/ ambayo unatoa kwa Baba Mungu/ na ninatolea kwako utu wangu./ Ninakuomba kuangamiza ndani yangu/ dhambi zote pamoja na majeraha yake/ na usikubali kunitenga nawe milele./ Amina.

(Na Mt. Margareta Maria Alakoki)

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

George Mallya (Guest) on February 26, 2017

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Chris Okello (Guest) on February 25, 2017

Tumaini ni nanga ya roho

Nora Kidata (Guest) on February 19, 2017

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Hamida (Guest) on February 7, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Nora Lowassa (Guest) on February 4, 2017

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Elizabeth Mtei (Guest) on December 9, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

David Sokoine (Guest) on November 13, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Bernard Oduor (Guest) on September 6, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Agnes Sumaye (Guest) on August 16, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Andrew Odhiambo (Guest) on July 24, 2016

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Francis Mrope (Guest) on June 6, 2016

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Chris Okello (Guest) on April 20, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Lucy Kimotho (Guest) on January 30, 2016

Endelea kuwa na imani!

Jackson Makori (Guest) on January 26, 2016

Sifa kwa Bwana!

Sarah Karani (Guest) on January 25, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Fredrick Mutiso (Guest) on January 20, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Catherine Mkumbo (Guest) on January 19, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Edward Chepkoech (Guest) on September 23, 2015

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Joseph Kawawa (Guest) on August 1, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Sarah Karani (Guest) on June 24, 2015

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Ann Awino (Guest) on June 12, 2015

Neema ya Mungu inatosha kwako

Victor Kamau (Guest) on June 7, 2015

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Samson Tibaijuka (Guest) on May 14, 2015

Amina

Related Posts

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako.... Read More

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About