Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Featured Image

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa kutoa misaada/ kwa wanaokukimbilia katika matatizo yao mazito./ Pia ni mwombezi wa waliopondeka moyo./

Mimi ni mmoja wa hao./ Nakujia na moyo uliojaa shida na matatizo./ Nakusihi kwa moyo wote/ unisaidie kwa maombezi yako yenye nguvu/ kufikia utatuzi unaofaa kadiri ya mapenzi ya Mungu./ Maisha yangu yamejaa misalaba,/ siku kwa siku matatizo hayapungui./ Moyo wangu umekuwa bahari ya siki chungu sana./ Mapito yangu nayaona yamejaa miiba mikali./ Roho yangu imezama katika dimbwi la machozi na kite./ Nafsi yangu imezingirwa na giza nene./ Ghasia na kukatishwa tamaa ya kuishi/ hunyemelea roho yangu./ Maongozi ya Mungu na imani naviona vinanitoka kidogo kwa kidogo./

Nikielemewa na mawazo kama hayo/ najikuta sina nguvu za kuishi,/ na maisha kwangu ni msalaba mzito/ ninaouogopa hata kuunyakua./ Wewe unaweza kabisa kunitoa katika balaa hili./ Sitaacha kukusihi/ hadi hapo utakaponisaidia/ au kunijulisha mapenzi ya Mungu kwangu./ Natangulia kutoa shukrani kwa jibu liwalo lote.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Anna Sumari (Guest) on September 20, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Carol Nyakio (Guest) on September 1, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Andrew Mahiga (Guest) on May 11, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Margaret Mahiga (Guest) on February 8, 2017

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Rose Waithera (Guest) on January 17, 2017

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Philip Nyaga (Guest) on January 12, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

David Sokoine (Guest) on October 28, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Linda Karimi (Guest) on September 28, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Mariam Kawawa (Guest) on September 16, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Joyce Aoko (Guest) on August 25, 2016

Mwamini Bwana; anajua njia

Edward Lowassa (Guest) on August 19, 2016

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Monica Lissu (Guest) on June 27, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

John Lissu (Guest) on June 10, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Hellen Nduta (Guest) on April 11, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Simon Kiprono (Guest) on February 26, 2016

Tumaini ni nanga ya roho

Emily Chepngeno (Guest) on February 2, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Brian Karanja (Guest) on November 5, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Mary Mrope (Guest) on October 10, 2015

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Nancy Kabura (Guest) on September 27, 2015

Mwamini katika mpango wake.

Joy Wacera (Guest) on August 5, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Stephen Kikwete (Guest) on July 29, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Anna Mahiga (Guest) on July 1, 2015

Wakati wa Mungu ni kamilifu

David Musyoka (Guest) on June 7, 2015

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Related Posts

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About