Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Featured Image

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ya ubavu wake Kristo yanioshe
Mateso ya Kristo nguvu yanizidishie
Ee Yesu mwema unisikilize
Katika madonda yako unifiche
Usikubali nitengwe nawe
Na adui mwovu unikinge
Saa ya kufa kwangu uniite
Uniamuru kwako nije
Na watakatifu wako nikutukuze
Milele na milele.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Elizabeth Malima (Guest) on March 27, 2018

Nakuombea πŸ™

James Malima (Guest) on November 14, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Frank Macha (Guest) on October 23, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Patrick Akech (Guest) on August 21, 2017

Mungu ni mwema, wakati wote!

Peter Mwambui (Guest) on August 17, 2017

Endelea kuwa na imani!

Nancy Kawawa (Guest) on July 6, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

George Mallya (Guest) on June 8, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Peter Tibaijuka (Guest) on May 10, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Victor Mwalimu (Guest) on April 28, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Nora Lowassa (Guest) on April 3, 2017

Imani inaweza kusogeza milima

Mary Sokoine (Guest) on February 28, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Robert Ndunguru (Guest) on January 17, 2017

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Edith Cherotich (Guest) on January 7, 2017

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Michael Onyango (Guest) on December 12, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Nancy Kabura (Guest) on November 12, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

Ruth Wanjiku (Guest) on November 4, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Edward Lowassa (Guest) on November 4, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Peter Mwambui (Guest) on September 28, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Joseph Kiwanga (Guest) on September 14, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

David Kawawa (Guest) on August 31, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Agnes Njeri (Guest) on August 23, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Grace Mligo (Guest) on June 15, 2016

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Grace Mligo (Guest) on November 7, 2015

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Agnes Sumaye (Guest) on October 4, 2015

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Janet Mbithe (Guest) on September 16, 2015

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Related Posts

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About