Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubwa sana ulipotazama mateso na kifo cha Mwana wako mpenzi. Muda ule uliweza kutuliz kidogo kwa sababu ya kumwona angali hai. Lakini je, baada ya kufa na kumzika? Sasa wewe ni mkiwa mkubwa mno! Uh, ukiwa wa pekee, uniombee mimi ninayempoteza mara nyingi kwa dhambi zangu. Unijalie nisimpoteze tena Yesu wangu kwa ubaya wa uvivu wangu, bali nimtumikie kiaminifu duniani hapa ili nimwone na kumfurahia milele mbinguni. Amina.
SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE
Date: January 1, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI
Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na...
Read More
KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU
Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More
Sala kwa Mtakatifu Yosefu
Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More
SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)
Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More
Kanuni ya imani
Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More
LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II
Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More
Sala kwa wenye kuzimia
Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More
Novena ya Noeli
Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)
Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More
Litani ya Bikira Maria
- Bwana utuhurumie
- Bwana utuhurumie
- Kristo utuhurumie
- Bwana utuhurumie... Read More
Rose Amukowa (Guest) on November 19, 2017
ππβ€οΈ Nakuombea heri
Dorothy Nkya (Guest) on November 16, 2017
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
David Chacha (Guest) on November 4, 2017
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
David Nyerere (Guest) on October 7, 2017
πβ€οΈ Mungu ni mkombozi
Charles Wafula (Guest) on October 7, 2017
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
Tabitha Okumu (Guest) on September 24, 2017
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Edith Cherotich (Guest) on September 2, 2017
Amina
Lydia Mahiga (Guest) on August 26, 2017
πβ¨ Mungu atupe nguvu
George Mallya (Guest) on August 5, 2017
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Vincent Mwangangi (Guest) on May 10, 2017
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Elijah Mutua (Guest) on May 1, 2017
Neema ya Mungu inatosha kwako
Ruth Wanjiku (Guest) on March 29, 2017
Mwamini katika mpango wake.
Elizabeth Mrema (Guest) on March 22, 2017
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Monica Adhiambo (Guest) on March 6, 2017
Katika imani, yote yanawezekana
Frank Sokoine (Guest) on March 5, 2017
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Linda Karimi (Guest) on December 13, 2016
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Nora Lowassa (Guest) on December 7, 2016
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
Brian Karanja (Guest) on September 16, 2016
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Charles Wafula (Guest) on July 19, 2016
ππ Asante kwa neema zako Mungu
Lucy Kimotho (Guest) on May 31, 2016
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Moses Mwita (Guest) on January 25, 2016
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Peter Tibaijuka (Guest) on August 18, 2015
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Anna Mahiga (Guest) on April 6, 2015
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi