Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Featured Image

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubwa sana ulipotazama mateso na kifo cha Mwana wako mpenzi. Muda ule uliweza kutuliz kidogo kwa sababu ya kumwona angali hai. Lakini je, baada ya kufa na kumzika? Sasa wewe ni mkiwa mkubwa mno! Uh, ukiwa wa pekee, uniombee mimi ninayempoteza mara nyingi kwa dhambi zangu. Unijalie nisimpoteze tena Yesu wangu kwa ubaya wa uvivu wangu, bali nimtumikie kiaminifu duniani hapa ili nimwone na kumfurahia milele mbinguni. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rose Amukowa (Guest) on November 19, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Dorothy Nkya (Guest) on November 16, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

David Chacha (Guest) on November 4, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

David Nyerere (Guest) on October 7, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Charles Wafula (Guest) on October 7, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Tabitha Okumu (Guest) on September 24, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Edith Cherotich (Guest) on September 2, 2017

Amina

Lydia Mahiga (Guest) on August 26, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

George Mallya (Guest) on August 5, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Vincent Mwangangi (Guest) on May 10, 2017

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Elijah Mutua (Guest) on May 1, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Ruth Wanjiku (Guest) on March 29, 2017

Mwamini katika mpango wake.

Elizabeth Mrema (Guest) on March 22, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Monica Adhiambo (Guest) on March 6, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Frank Sokoine (Guest) on March 5, 2017

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Linda Karimi (Guest) on December 13, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Nora Lowassa (Guest) on December 7, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Brian Karanja (Guest) on September 16, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Charles Wafula (Guest) on July 19, 2016

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Lucy Kimotho (Guest) on May 31, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Moses Mwita (Guest) on January 25, 2016

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Peter Tibaijuka (Guest) on August 18, 2015

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Anna Mahiga (Guest) on April 6, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Related Posts

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ... Read More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

Sala ya Malaika wa Bwana

Sala ya Malaika wa Bwana

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na... Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About