Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Featured Image

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtakatifu wa Bwana wetu Yesu Kristu/ ambao ninataka kumpenda/ na kukusalimu kwa usikivu unaoendelea./ Kamwe nisikuudhi tena/ kwa sababu Wewe ni Mwema sana;/ Ee Mwema sana./ Ee Moyo Mtakatifu sana/ ninakupenda/ na ninataka kukupenda zaidi ya vitu vyote,/ kwa nguvu zangu zote/ na kwa uwezo wangu wote,/ ninatamani kuwa mali yako/ Wewe uliyejitoa Msalabani kwa ajili yangu/ kwa mateso makali./ Unionee huruma na udhaifu wangu/ na usiniruhusu kupotea./

Ninajitoa kabisa kwako/ ee moyo wa mapendo,/ kwa makusudi kuwa utu wangu,/ maisha na mateso yangu/ yalipie kukupenda,/ kukuheshimu/ na kukutukuza Wewe sasa na milele./ Ninakupenda ee Moyo Mwabudiwa wa Mwokozi wangu,/ ninakuomba kwako/ uamuru moyo wangu na kila kitu ndani yangu/ kikutukuze sasa na milele./ Amina.

(Na Mt Margareta Maria Alakoki)

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joyce Nkya (Guest) on August 21, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Monica Adhiambo (Guest) on August 3, 2017

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Lydia Mutheu (Guest) on May 7, 2017

Rehema hushinda hukumu

Monica Adhiambo (Guest) on April 2, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Edward Chepkoech (Guest) on March 16, 2017

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Nancy Akumu (Guest) on February 4, 2017

Sifa kwa Bwana!

Stephen Amollo (Guest) on September 28, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Grace Wairimu (Guest) on September 26, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Violet Mumo (Guest) on July 21, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Dorothy Nkya (Guest) on June 19, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Anna Mahiga (Guest) on April 4, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Grace Wairimu (Guest) on February 29, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Jacob Kiplangat (Guest) on February 16, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Francis Mrope (Guest) on February 13, 2016

Tembea kwa imani, si kwa kuona

John Lissu (Guest) on January 26, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Moses Kipkemboi (Guest) on January 25, 2016

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Elijah Mutua (Guest) on January 24, 2016

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Janet Mwikali (Guest) on January 20, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Nancy Komba (Guest) on January 6, 2016

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Jackson Makori (Guest) on November 7, 2015

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Irene Akoth (Guest) on July 22, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Joseph Mallya (Guest) on July 19, 2015

Kwa Mungu, yote yanawezekana

David Chacha (Guest) on April 1, 2015

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Related Posts

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About