Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

Featured Image

Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kutujaza mapaji saba ya Roho Mtakatifu.

TUOMBE
Ee Mungu Mwenyezi wa milele, kwa wema na huruma yako ya ajabu, umetaka watu wako waokoke, ukamweka Malaika Mkuu Mikaeli kuwa Mkuu wa Kanisa lako, Utukinge na adui zetu, wasitusmbue saa ya kufa kwetu, bali tuongozwe naye kwenye utukufu wako Mkuu. Tunaomba hayo kwa njia ya Bwana Wetu Yesu Kristo. Amina.

Utuombee Ee Mtukufu Mtakatifu Mikaeli Mkuu wa Kanisa la Yesu Kristo, tujaliwe ahadi za Kristo. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Michael Mboya (Guest) on June 18, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

James Malima (Guest) on June 13, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Andrew Mchome (Guest) on June 1, 2018

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Thomas Mtaki (Guest) on April 10, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Henry Sokoine (Guest) on March 25, 2018

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Grace Njuguna (Guest) on March 9, 2018

Baraka kwako na familia yako.

Michael Onyango (Guest) on December 16, 2017

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Nora Lowassa (Guest) on November 12, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Margaret Anyango (Guest) on October 30, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Charles Mchome (Guest) on August 10, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

James Kawawa (Guest) on April 23, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Nora Lowassa (Guest) on April 3, 2017

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Linda Karimi (Guest) on September 18, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Joyce Aoko (Guest) on September 8, 2016

Neema ya Mungu inatosha kwako

Grace Majaliwa (Guest) on July 12, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Daniel Obura (Guest) on July 2, 2016

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Jane Malecela (Guest) on January 2, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Joyce Mussa (Guest) on December 15, 2015

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Alex Nyamweya (Guest) on November 9, 2015

Sifa kwa Bwana!

Mercy Atieno (Guest) on October 25, 2015

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Charles Wafula (Guest) on October 9, 2015

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

David Sokoine (Guest) on July 17, 2015

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

James Kawawa (Guest) on April 24, 2015

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Related Posts

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)