SALA YA KUTUBU
Date: January 1, 2017
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukizwa na dhambi, basi sitaki kukosa tena, nitafanya kitubio, naomba neema yako nipate kurudi wkako. Amina.
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w...
Read More
Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar...
Read More
Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ...
Read More
Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.
SALA YA KUSHUKURU
Tunakus...
Read More
Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y...
Read More
Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote...
Read More
Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ...
Read More
Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ...
Read More
Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,
na kwa njia ya Damu yako azizi,
na kwa maombezi ya M...
Read More
Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa...
Read More
Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok...
Read More
Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush...
Read More
Fredrick Mutiso (Guest) on May 16, 2018
Nakuombea π
Jane Muthui (Guest) on April 8, 2018
πβ€οΈπ Baraka za Mungu ziwe nawe
Monica Nyalandu (Guest) on January 13, 2018
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Thomas Mtaki (Guest) on October 23, 2017
Katika imani, yote yanawezekana
Victor Malima (Guest) on April 11, 2017
πβ€οΈ Mungu ni mlinzi wetu
Zainab (Guest) on March 9, 2017
πππ
Lucy Kimotho (Guest) on January 30, 2017
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Kenneth Murithi (Guest) on January 15, 2017
Neema ya Mungu inatosha kwako
Josephine Nekesa (Guest) on January 6, 2017
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Moses Mwita (Guest) on November 21, 2016
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Lydia Mzindakaya (Guest) on September 2, 2016
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Elijah Mutua (Guest) on August 29, 2016
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
Joseph Kitine (Guest) on May 29, 2016
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
Charles Mrope (Guest) on May 13, 2016
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
John Mwangi (Guest) on April 30, 2016
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
Samuel Were (Guest) on April 25, 2016
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Jane Malecela (Guest) on April 13, 2016
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Grace Wairimu (Guest) on March 29, 2016
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Moses Kipkemboi (Guest) on January 21, 2016
Baraka kwako na familia yako.
Grace Minja (Guest) on January 18, 2016
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Josephine Nekesa (Guest) on January 2, 2016
ππ Mungu alete amani
David Sokoine (Guest) on November 11, 2015
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Agnes Sumaye (Guest) on August 19, 2015
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Linda Karimi (Guest) on August 9, 2015
Dumu katika Bwana.