Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Featured Image

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana alikuwa akimtupia macho,so me nilikuwa na wepesi wa kuongea naye kirahisi coz nilikuwa kando yake,,, Sasa kama unavyojuwa wanaume kwa kujikosha Nikaimigine mtto ananiangalia so nikaamuwa kupiga fake phone
"Hello Mr. Supervisor,nitachalewa kidogo coz kuna mahali nitapitia, so nipelekee tu hyo Ferrari yangu nyumbani"

Nikaona mrembo ameniangalia kwa macho ya husda apo nkajua nimeuwa ndege kwa jiwe moja, nkaamua kujikosha mtt wa kiume , "niaje mrembo", akanikazia macho kisha akaniambia,
"Shika battery yako uliangusha ukitoa simu"

Icho kicheko watu walicheka hujawahi ona jooo adi ikabidi dereva aegeshe gari watu wacheke kwanza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nikaona isiwe tabu nikashukia pale pale🚢🏿🚢🏿🚢🏿

Tujifunze kusema ukweli kwani uongo sio mzuri hata kwa Mungu… πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joy Wacera (Guest) on May 30, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on May 22, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rukia (Guest) on May 18, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Christopher Oloo (Guest) on May 10, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Tambwe (Guest) on April 27, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Betty Akinyi (Guest) on April 26, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Betty Kimaro (Guest) on April 23, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ahmed (Guest) on April 13, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Josephine Nduta (Guest) on April 10, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Zuhura (Guest) on March 31, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Francis Mtangi (Guest) on March 28, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Lucy Kimotho (Guest) on March 23, 2022

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Majid (Guest) on March 2, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Latifa (Guest) on February 17, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Salum (Guest) on February 9, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Mchawi (Guest) on February 2, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Alice Jebet (Guest) on January 13, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on January 6, 2022

😊🀣πŸ”₯

Paul Kamau (Guest) on December 13, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on December 8, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on November 27, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on November 23, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mwalimu (Guest) on November 12, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Stephen Kangethe (Guest) on November 5, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Yahya (Guest) on October 20, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Latifa (Guest) on October 11, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Charles Mrope (Guest) on October 11, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Andrew Mahiga (Guest) on September 26, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on September 18, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Shabani (Guest) on September 13, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Benjamin Kibicho (Guest) on September 12, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Janet Mwikali (Guest) on August 18, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on August 8, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on July 13, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mhina (Guest) on June 29, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Charles Mrope (Guest) on June 3, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Patrick Akech (Guest) on May 30, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Selemani (Guest) on May 18, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mwachumu (Guest) on May 11, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

George Tenga (Guest) on April 3, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Margaret Anyango (Guest) on March 18, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on February 27, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Diana Mumbua (Guest) on December 21, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on December 19, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Stephen Amollo (Guest) on October 29, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Ann Wambui (Guest) on October 21, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 10, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on October 7, 2020

Asante Ackyshine

Francis Njeru (Guest) on September 1, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Benjamin Masanja (Guest) on August 27, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Ruth Mtangi (Guest) on August 21, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on August 21, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Yusra (Guest) on August 16, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Nasra (Guest) on August 8, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Andrew Mchome (Guest) on June 27, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Francis Mtangi (Guest) on June 18, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on June 11, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Vincent Mwangangi (Guest) on June 1, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on May 31, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Sultan (Guest) on May 27, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Related Posts

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
πŸ“– Explore More Articles