Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Featured Image

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nikalipe ada nimetumia shilingi alfu 30 kubeti
BABA : Unasema nini we mpumbavu mshenzi
mkubwa? Nimekukanya mara ngapi kuhusu kubeti?
DOGO : Lakini baba
BABA : Lakini baba nini ngoja urudi utaona
ntakachofanya.
DOGO : Nilitaka kukwambia kuwa nimeshinda
shilingi milioni 3
BABA : Ndio hayo ninayosema wewe mpumbavu
sana kwanini hukutumia laki nzima kubeti? Si
ungepata pesa nyingi zaidi? Ngoja urudi niwataarifu
ndugu zako kuhusu uulivyo na akili za kuamua
haraka mwanangu mpenzi…

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Patrick Kidata (Guest) on December 6, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on November 25, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kijakazi (Guest) on November 15, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

David Kawawa (Guest) on November 6, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Ruth Kibona (Guest) on November 3, 2021

🀣πŸ”₯😊

Jackson Makori (Guest) on November 2, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on October 14, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on October 3, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Edith Cherotich (Guest) on September 20, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Tabitha Okumu (Guest) on September 13, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mwalimu (Guest) on September 6, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Mustafa (Guest) on September 6, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Jacob Kiplangat (Guest) on August 13, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Ruth Kibona (Guest) on August 12, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Samuel Omondi (Guest) on July 29, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Otieno (Guest) on July 27, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Anthony Kariuki (Guest) on July 25, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Ruth Mtangi (Guest) on June 21, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Jabir (Guest) on May 30, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Henry Sokoine (Guest) on April 16, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nancy Kawawa (Guest) on April 8, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Issa (Guest) on March 22, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Sarah Achieng (Guest) on March 15, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on February 10, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Stephen Amollo (Guest) on January 7, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mariam (Guest) on December 21, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Margaret Mahiga (Guest) on November 24, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on November 19, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Patrick Mutua (Guest) on November 14, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Betty Kimaro (Guest) on October 21, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on October 2, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

James Mduma (Guest) on September 13, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Bernard Oduor (Guest) on August 7, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Hamida (Guest) on July 22, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Abdullah (Guest) on July 18, 2020

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Francis Mtangi (Guest) on July 11, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on July 4, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Zubeida (Guest) on June 27, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Anna Mahiga (Guest) on June 21, 2020

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 11, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on June 7, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on June 3, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Grace Njuguna (Guest) on May 30, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Brian Karanja (Guest) on May 16, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Binti (Guest) on May 14, 2020

😁 Hii ni dhahabu!

Margaret Anyango (Guest) on May 3, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on April 21, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Carol Nyakio (Guest) on April 16, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Stephen Mushi (Guest) on April 11, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Linda Karimi (Guest) on April 6, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanakhamis (Guest) on April 2, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

David Nyerere (Guest) on March 12, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ahmed (Guest) on March 8, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

James Kimani (Guest) on February 11, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Faith Kariuki (Guest) on February 9, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Maneno (Guest) on February 7, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Robert Ndunguru (Guest) on February 4, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Lucy Wangui (Guest) on January 23, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on December 30, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Selemani (Guest) on December 11, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Related Posts

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao ... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

πŸ“– Explore More Articles