Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.

3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?

4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.

5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.

6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.

7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.

8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.

9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.

10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi kufunika sufuria.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Peter Mwambui (Guest) on March 1, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Maimuna (Guest) on February 7, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Jane Muthui (Guest) on January 11, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Omari (Guest) on January 8, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Tabu (Guest) on December 26, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 15, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mtumwa (Guest) on December 8, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Peter Mbise (Guest) on December 6, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Thomas Mwakalindile (Guest) on October 22, 2021

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on October 21, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on October 4, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Margaret Mahiga (Guest) on September 15, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Jamila (Guest) on September 12, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Edward Lowassa (Guest) on September 6, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on September 6, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Faith Kariuki (Guest) on August 11, 2021

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on July 22, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Victor Mwalimu (Guest) on June 14, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Joseph Kiwanga (Guest) on May 28, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Betty Cheruiyot (Guest) on May 9, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Sarah Achieng (Guest) on May 8, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Elizabeth Mtei (Guest) on March 28, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mariam (Guest) on February 28, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Samuel Were (Guest) on February 25, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on February 14, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on February 11, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Zakia (Guest) on February 2, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Samson Tibaijuka (Guest) on February 1, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Maneno (Guest) on January 24, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Grace Mligo (Guest) on January 13, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on December 13, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Biashara (Guest) on December 1, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Tabitha Okumu (Guest) on November 30, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on November 26, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on November 22, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Paul Kamau (Guest) on November 17, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on November 15, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Wande (Guest) on November 1, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Jane Muthoni (Guest) on October 26, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Ruth Kibona (Guest) on October 17, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on October 2, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Violet Mumo (Guest) on September 30, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Peter Tibaijuka (Guest) on September 17, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Jafari (Guest) on September 16, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Robert Okello (Guest) on September 7, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Victor Sokoine (Guest) on July 29, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Patrick Kidata (Guest) on July 27, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Mwikali (Guest) on July 17, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mallya (Guest) on June 11, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Richard Mulwa (Guest) on June 11, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Tambwe (Guest) on June 10, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Christopher Oloo (Guest) on June 8, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Lucy Kimotho (Guest) on May 29, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on May 12, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Esther Nyambura (Guest) on May 10, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Malela (Guest) on May 7, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Grace Wairimu (Guest) on April 27, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on April 9, 2020

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on March 15, 2020

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Frank Sokoine (Guest) on February 16, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Related Posts

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About