Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Featured Image

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ameripoti polisi akajibu "sijaripoti bado, mwizi mwenyewe hamfikii matumizi kama mke wangu.

Cheka kidogo

Njia rahisi kusahau matatizo yako (japo kwa muda mfupi) vaa viatu vinavyokubana.

Mlizi mbio mbio

Tulikuwa bar moja jana mlinzi kaingia spidi, akamwambia jamaa mmoja aliyekaa kaunta, Mlinzi: Mzee gari lako limeibiwa Mzee: Umemtambua aliyeiba? Mlinzi: Hapana lakini nimeandika namba za gari hizi hapa.

13, 13…

Jamaa alikuwa anapita nje ya wodi ya vichaa akasikia mtu anasema, 13, 13, 13, 13, 13, 13,….. akaamua kuchungulia kwenye kitundu alichokiona ajue kuna nini, ile kuchungulia tu akamwagiwa mchanga wa machoni, sauti ikabadili ikaanza 14,14,14,14,14……

WATAALAM

Jamaa alikuwa anaumwa sana, mkewe akamwita daktari, alipofika akamkuta jamaa kafumba macho;
Dokta: Huyu mbona amekwisha kufa?
Jamaa: Sijafa bwana
Mke: Hebu nyamaza bwana acha kubishana na wataalamu.

Ya leo mgonjwa

Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliyepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?"
Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh?
Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.

4WD

Mwanaume alimnunulia pete ya almasi mkewe, rafiki akauliza "si ulisema anapenda gari yenye four wheel drive, mbona umenunua pete?" Mume akajibu "unadhani wapi ntapata rav4 feki?"

Ajali ilivyotokea

Trafiki polisi akihoji palipotokea ajali "ahaa! Sasa naanza elewa embu nielezee jinsi ajali ilivyotokea wewe ukiwa kama dereva mhusika." Dereva akajibu "hata sikumbuki nlifumba macho"

Faini ya kukojoa

Polisi alimdaka jamaa anakojoa pembezoni mwa ukuta.
Polisi: Wewe unajua panakatazwa kukojoa hapa?
Jamaa: Sasa nimebanwa nifanyaje?
Polisi: Faini yake elfu tano.
Jamaa akatoa noti ya elfu 10.
Polisi: Sasa chenji tunaipataje?
Jamaa: Tafuta chenji unipe changu.
Polisi: Basi kojoa tena…

Mume anaenda kazini

Jamaa kaamka asubuhi sana Jumamosi, mvua inanyesha kang'ang'ania kuwa anaenda ofisini. Kawasha gari yake, kufika njiani hali ilikuwa mbaya kaamua kurudi. Kafika home kavua nguo kaingia tena kitandani, kamnong'oneza mkewe aliyekuwa usingizini; "Yaani hali ya hewa huko nje mbaya sana" Mke: Si ndio nimemshangaa huyu mpumbavu eti kaenda kazini…

Hasira za mtoto

Baba na mtoto:
Baba: Mwanangu ukiwa na hasira unafanya nini?
Mtoto: Naenda chooni.
Baba: Chooni? Kufanya nini?
Mtoto: Kusafisha.
Baba: Halafu ndio hasira zinaisha?
Mtoto: Ndio. Nasafisha choo kwa mswaki wako.

Mgonjwa na Dokta

Mgonjwa: Dokta nimekuja nahisi ninaumwa Malaria na kifua.
Dokta: Sasa ushajua unaumwa nini hapa umefuata nini kwangu?
Mgonjwa: Sasa si nimekuja kwa dokta.
Dokta: Wanaojua kuwa wanaumwa kama wewe wanapitiliza maabara.

Pilau la bachela

Bachela mmoja aliyekua akiishi kwa muda mrefu peke yake kwenye nyumba aliyopanga siku moja alitaka kupika pilau kwa mara ya kwanza. Sasa asijue nini kinachobadilisha rangi ya wali kuwa rangi ya brown, yeye akapika kama kawaida (wali) kisha wakati wa kula akavaa miwani yenye rangi ambayo ukiuangalia wali unauona kama pilau wakati anakula.

Mwizi na chizi

Mwizi kaiba TV na kuanza kukimbia nayo, kumbe ile nyumba mlikuwa na chizi, akaanza kumkimbiza yule mwizi. Kila mwizi akiongeza mbio chizi nae huyo, mwishowe mwizi akasalimu amri na kusimama, yule chizi akamsogelea na kumwambia.. Daah umesahau remote hii hapa mwizi kafleti.

Chemsha bongo

Baba akimuuliza chemsha bongo mwanae anayesoma shule ya chekechea "haya niambie kitu gani hakiwezi kuliwa wakati wa breakfast?" Mtoto akajibu "hiyo mbona rahisi baba, si lunch na dinner"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Monica Nyalandu (Guest) on October 18, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on October 14, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on September 19, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Mwanahawa (Guest) on August 11, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Zakaria (Guest) on August 4, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Victor Sokoine (Guest) on July 31, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on June 26, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on June 15, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Agnes Lowassa (Guest) on April 29, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Anna Kibwana (Guest) on April 29, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Catherine Naliaka (Guest) on April 14, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on March 19, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Robert Okello (Guest) on March 11, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on February 7, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 3, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Abdullah (Guest) on January 7, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mustafa (Guest) on December 17, 2021

😁 Kicheko bora ya siku!

Mwanaisha (Guest) on December 10, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Ruth Mtangi (Guest) on December 9, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Wilson Ombati (Guest) on November 8, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ndoto (Guest) on November 6, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on October 1, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on September 23, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Safiya (Guest) on September 19, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Bahati (Guest) on September 15, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Joseph Mallya (Guest) on September 5, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on August 6, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on July 22, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 20, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Wairimu (Guest) on July 9, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Violet Mumo (Guest) on July 7, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Josephine Nduta (Guest) on July 5, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Kijakazi (Guest) on June 29, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Hashim (Guest) on May 15, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Nancy Komba (Guest) on May 12, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Aziza (Guest) on April 30, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Dorothy Nkya (Guest) on April 12, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on April 7, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mwalimu (Guest) on April 6, 2021

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Zainab (Guest) on March 22, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Abdillah (Guest) on March 15, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Paul Ndomba (Guest) on February 25, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on February 23, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Charles Mchome (Guest) on February 12, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on February 1, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Malisa (Guest) on January 26, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on January 23, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Elizabeth Mtei (Guest) on January 7, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Stephen Kangethe (Guest) on January 1, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on December 26, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Zakia (Guest) on December 4, 2020

🀣 Hii imewaka moto!

James Kawawa (Guest) on November 15, 2020

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Elijah Mutua (Guest) on November 10, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Lydia Mahiga (Guest) on November 10, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Anna Kibwana (Guest) on October 25, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 28, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Fikiri (Guest) on September 27, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Vincent Mwangangi (Guest) on September 14, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Josephine Nekesa (Guest) on September 7, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Janet Mwikali (Guest) on July 10, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About