Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Mambo manne ya mwisho katika maisha

Featured Image
Mambo manne ambayo ni ya mwisho katika maisha ni;
  1. Kifo
  2. Hukumu
  3. Mbinguni
  4. Motoni
Mambo haya yote yanaweza kutokea wakati wowote bila kujua wala kutarajia

Kifo

Kifo ni kitu ambacho kinaweza kumpata mtu yeyote wa umri wowote awe mtoto kijana au mzee na kwa wakati wowote.
Maranyingi watu hawapendi kuongelea kuhusu kifo kwakua ni kitu ambacho kinampata kila mtu na hakipingiki wala hakina mjadala.

Hukumu

Baada ya kifo, inafuata hukumu, kila mtu atahukumiwa kulingana na matendo yake kama ulitenda mema utaenda mbinguni, na kama umetenda mabaya utaenda motoni.

Mbingu

Kama mtu akifa akiwa katika hali usafi wa moyo anaelekea mbinguni. Haijalishi ni kwa kipindi gani aliishi hivyo. Ila ni kwa hali gani kifo kilimkuta. Kwa sababu hii kila mtu anatakiwa aishi katika hali ya usafi wa moyo kwani hajui ni wakati gani atakutwa na kifo.

Motoni

Kama mtu akifa katika hali ya dhambi anaenda motoni. Kwa hiyo inatupasa tutumie vyema msamaa na huruma ya Mungu katika maisha yetu ili mwishi wetu uwe mzuri wakati bado tukiwa na muda.
Kila unapoishi ni lazima ufikirie mambo haya ukizingatia hujui wakati yanaweza kukupata. Kwa hiyo, nilazima uishi ukiwa unatafakari haya
ili uwe na mwisho mzuri.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Grace Njuguna (Guest) on June 8, 2024

Endelea kuwa na imani!

Grace Njuguna (Guest) on March 23, 2024

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Victor Malima (Guest) on January 23, 2024

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Mercy Atieno (Guest) on December 17, 2023

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Mary Kendi (Guest) on August 11, 2023

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 7, 2023

Rehema zake hudumu milele

Peter Mbise (Guest) on February 1, 2023

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Chris Okello (Guest) on November 11, 2022

Imani inaweza kusogeza milima

Victor Kimario (Guest) on August 22, 2022

Neema ya Mungu inatosha kwako

Irene Akoth (Guest) on May 26, 2022

Dumu katika Bwana.

Ann Wambui (Guest) on May 11, 2022

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Grace Mligo (Guest) on April 24, 2022

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

James Malima (Guest) on April 7, 2022

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Tabitha Okumu (Guest) on March 20, 2022

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

David Ochieng (Guest) on March 8, 2022

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Moses Mwita (Guest) on August 13, 2021

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Rose Lowassa (Guest) on May 14, 2021

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Irene Akoth (Guest) on May 4, 2021

Tumaini ni nanga ya roho

Joyce Aoko (Guest) on September 15, 2020

Katika imani, yote yanawezekana

Victor Kamau (Guest) on September 13, 2020

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Stephen Malecela (Guest) on April 3, 2020

Kwa Mungu, yote yanawezekana

George Mallya (Guest) on March 1, 2020

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Janet Mwikali (Guest) on January 23, 2020

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Ruth Wanjiku (Guest) on September 17, 2019

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

John Kamande (Guest) on August 31, 2019

Baraka kwako na familia yako.

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 11, 2019

Mwamini katika mpango wake.

Moses Kipkemboi (Guest) on February 14, 2019

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

George Mallya (Guest) on February 6, 2019

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Moses Mwita (Guest) on January 3, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Andrew Mahiga (Guest) on December 2, 2018

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Jacob Kiplangat (Guest) on April 12, 2018

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Edward Lowassa (Guest) on April 6, 2018

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Nancy Kawawa (Guest) on September 18, 2017

Nakuombea ๐Ÿ™

Agnes Sumaye (Guest) on August 18, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Fredrick Mutiso (Guest) on April 4, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Elizabeth Malima (Guest) on April 3, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Grace Njuguna (Guest) on March 24, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Carol Nyakio (Guest) on December 17, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Lucy Wangui (Guest) on October 9, 2016

Mungu ni mwema, wakati wote!

Joyce Nkya (Guest) on September 9, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Patrick Kidata (Guest) on July 28, 2016

Sifa kwa Bwana!

Alice Wanjiru (Guest) on March 21, 2016

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Nora Kidata (Guest) on March 8, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Rose Lowassa (Guest) on November 21, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Linda Karimi (Guest) on November 7, 2015

Mungu akubariki!

Ruth Mtangi (Guest) on October 28, 2015

Rehema hushinda hukumu

Victor Kamau (Guest) on September 17, 2015

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Victor Malima (Guest) on July 9, 2015

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Lucy Mahiga (Guest) on June 25, 2015

Nguvu hutoka kwa Bwana

Samuel Omondi (Guest) on May 5, 2015

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Related Posts

Biblia inavyothibitisha kuwa Bikira Maria Mama wa Yesu ni Mama wa Wakristu Wote

Biblia inavyothibitisha kuwa Bikira Maria Mama wa Yesu ni Mama wa Wakristu Wote

Read More
Hadithi: Mkasa wa kusisimua, Jifunze kitu hapa

Hadithi: Mkasa wa kusisimua, Jifunze kitu hapa

Watu wawili๐Ÿ‘ฌ walikuwa wanakunywa pombe๐Ÿบ๐Ÿป baa. Wakati wanakunywa wakaanza kubishana๐Ÿ™…๐Ÿ... Read More

Kwa nini Bikira Maria hakuwa anaombwa akiwa hai? Watu na mitume hawakuwa wanasali kumuomba yeye

Kwa nini Bikira Maria hakuwa anaombwa akiwa hai? Watu na mitume hawakuwa wanasali kumuomba yeye

Read More
MAANA YA SALA KWA MKRISTO

MAANA YA SALA KWA MKRISTO

Read More
Uelewa wa namba katika Biblia

Uelewa wa namba katika Biblia

Biblia imeandikwa na Mungu kupitia waandishi wanadamu kwa uvuvio wa Roho Mtakatifu. Hivyo Biblia ... Read More

Huruma ya Mungu: Mwanga katika Giza la Dhambi

Huruma ya Mungu: Mwanga katika Giza la Dhambi

Huruma ya Mungu: Mwanga katika Giza la Dhambi

  1. Kama Wakristo, tunajua kwamba Mung... Read More

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kufuata na kutekeleza mapenzi ya Mungu katika maisha yao?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kufuata na kutekeleza mapenzi ya Mungu katika maisha yao?

Katika imani ya Kanisa Katoliki, Mungu ni muumba na mwanzilishi wa maisha yote duniani. Kama waam... Read More

JE, WAKATOLIKI WANABUDU SANAMU?

JE, WAKATOLIKI WANABUDU SANAMU?

Read More
Usiyumbishwe na kila upepo wa mafundisho

Usiyumbishwe na kila upepo wa mafundisho

Read More
Maana ya siku ya Jumatano ya Majivu

Maana ya siku ya Jumatano ya Majivu

Read More

Kila kitu ni mali ya Mungu isipokua hiki

Kila kitu ni mali ya Mungu isipokua hiki

Kila kitu ni mali ya Mungu.

Kuwa na Mungu ni kuwa na kila kitu.

Hata mimi mwenyewe ni... Read More

Usipite bila kusoma kisa hiki cha kusisimua

Usipite bila kusoma kisa hiki cha kusisimua

Siku moja jioni katika mji flani, kulikuwa na basi likisafiri kutoka mji huo kuelekea mji mwingin... Read More