Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Featured Image

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoniโ€ฆ

Mara blenda priiiiiโ€ฆ juiceโ€ฆ ama milk shakeโ€ฆ. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shakeโ€ฆAnza kukuna naziโ€ฆ

Chambua mnafuโ€ฆ

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemkaโ€ฆ katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoniโ€ฆ hahahaha kwenye frijiโ€ฆ wala hatumi..

Hahaahhaโ€ฆ utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supuโ€ฆ

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapatiโ€ฆMpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeivaโ€ฆMpe ale..Mshushie na glass ya mtindiโ€ฆHahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipigeโ€ฆ

Hahahahahahaโ€ฆ.Baada ya hapo acha apumzikeโ€ฆ aogeโ€ฆ

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..

Mkimaliza muombe pesa ya sokoniโ€ฆ

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamaniโ€ฆ

Hahahahahaโ€ฆ yani kwa raha ya supuโ€ฆ nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu janaโ€ฆ hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njooโ€ฆ unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwaโ€ฆ

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongoโ€ฆ. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhaziliโ€ฆ
Wali maharage kama jeshi la j

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Ruth Kibona (Guest) on July 22, 2024

๐Ÿ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 16, 2024

๐Ÿ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Stephen Kikwete (Guest) on June 8, 2024

๐Ÿ˜„๐Ÿ˜…๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 18, 2024

Hii ni kali sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Charles Wafula (Guest) on April 12, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Sarah Karani (Guest) on March 31, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Elizabeth Mrema (Guest) on March 19, 2024

๐Ÿ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Janet Wambura (Guest) on March 2, 2024

๐Ÿ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Nancy Kabura (Guest) on February 19, 2024

Hizi jokes zinabamba sana! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on February 14, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

John Mushi (Guest) on February 9, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on February 4, 2024

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†

Patrick Akech (Guest) on December 28, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! ๐Ÿ‘๐Ÿคฃ

Agnes Sumaye (Guest) on November 27, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Peter Otieno (Guest) on November 26, 2023

๐Ÿ˜ Hii ni dhahabu!

Mercy Atieno (Guest) on November 12, 2023

๐Ÿคฃ Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Ramadhan (Guest) on October 28, 2023

๐Ÿ˜† Hii imenigonga kweli!

Samuel Omondi (Guest) on October 23, 2023

๐Ÿ˜† Hiyo punchline!

Tabu (Guest) on October 16, 2023

๐Ÿคฃ Hii kichekesho ni nzuri sana!

Chiku (Guest) on September 19, 2023

๐Ÿ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Fadhili (Guest) on September 4, 2023

๐Ÿ˜… Bado nacheka!

Stephen Mushi (Guest) on August 6, 2023

Hii imenibamba sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…

Robert Okello (Guest) on July 24, 2023

๐Ÿ˜„ Umeimaliza kabisa!

Joyce Aoko (Guest) on June 20, 2023

Nimefurahia sana hii! ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜Š

Andrew Mahiga (Guest) on May 25, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š

Joseph Kiwanga (Guest) on May 10, 2023

๐Ÿ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mashaka (Guest) on April 30, 2023

๐Ÿ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Henry Mollel (Guest) on April 24, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

Zubeida (Guest) on April 19, 2023

๐Ÿคฃ Ninashiriki hii na kila mtu!

George Mallya (Guest) on April 7, 2023

๐Ÿ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Charles Mboje (Guest) on April 6, 2023

๐Ÿ˜ Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Alice Mwikali (Guest) on February 22, 2023

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜†

Aziza (Guest) on February 22, 2023

๐Ÿ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Elizabeth Mrope (Guest) on February 14, 2023

Huyu alikuwa na point! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ

Chris Okello (Guest) on February 2, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

James Malima (Guest) on January 23, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Monica Lissu (Guest) on January 6, 2023

๐Ÿ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jaffar (Guest) on December 26, 2022

๐Ÿ˜ Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Jacob Kiplangat (Guest) on November 29, 2022

Nimecheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Omari (Guest) on November 27, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! ๐Ÿ˜„

Grace Wairimu (Guest) on November 21, 2022

๐Ÿ˜… Bado ninacheka!

John Kamande (Guest) on November 11, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on October 29, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Samuel Were (Guest) on October 26, 2022

๐Ÿ˜†๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜„

Isaac Kiptoo (Guest) on October 23, 2022

๐Ÿ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Lucy Mushi (Guest) on October 19, 2022

Hii imenichekesha sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on September 20, 2022

Hii imenifurahisha sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š

Ruth Mtangi (Guest) on September 6, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜„

Shani (Guest) on August 31, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! ๐Ÿ’ฐ

Alex Nakitare (Guest) on August 29, 2022

๐Ÿ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Victor Sokoine (Guest) on August 18, 2022

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 9, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ๐Ÿ˜†๐Ÿ‘

Shamsa (Guest) on August 2, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! ๐Ÿ˜œ

Susan Wangari (Guest) on August 1, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on July 31, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! ๐Ÿ˜†๐Ÿ‘

Habiba (Guest) on July 31, 2022

๐Ÿ˜„ Kali sana!

Betty Kimaro (Guest) on July 26, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on July 2, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜†

Nyota (Guest) on June 30, 2022

๐Ÿ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mgeni (Guest) on June 26, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! ๐Ÿ˜…

Related Posts

Wanawake hii nayo ni romantic ?๐Ÿ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?๐Ÿ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!โ€ฆ..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

๐Ÿ“– Explore More Articles