Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Featured Image

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

A: *Hapana, nimebadilisha kichwa.*

Q: Hiyo simu umenunua?

A: *Hapana nimeitengeneza mwenyewe.*

Q: Utakula mboga na nini?

A: *Mdomo*

(Simu inaita usiku,then aliyepiga anauliza) Q: Nimekuamsha?

A: *Hapana nilikuwa naota jua hapa nje.*

Q: Gazeti la leo linasemaje?

A: *Sijaongea nalo.*

Q: Gari limejaa, nitakaa wapi?

A: *Usijali dereva anashuka kituo kinachofata utapata kiti.*

Q: Hiyo ni ajali?

A: *Hapana ni driver ameamua kupark gari upside down* .

Q: Umepause movie?

A: *Hapana wamechoka kuact wanarest.*
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Paul Ndomba (Guest) on July 24, 2024

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Guest (Guest) on January 7, 2026

Xawa

Alex Nakitare (Guest) on July 21, 2024

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Guest (Guest) on December 4, 2025

Chizi

Guest (Guest) on April 18, 2026

kula chuma hichoo!

Guest (Guest) on May 28, 2026

kal ya mwaka

Guest (Guest) on April 18, 2026

kula chuma hichoo!

George Wanjala (Guest) on June 23, 2024

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Guest (Guest) on January 28, 2026

A

Guest (Guest) on May 28, 2026

hii

Nancy Akumu (Guest) on June 10, 2024

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Rubea (Guest) on June 3, 2024

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Chris Okello (Guest) on May 30, 2024

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on May 29, 2024

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Guest (Guest) on April 1, 2026

Pp

Omari (Guest) on April 12, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Francis Mtangi (Guest) on March 27, 2024

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Omari (Guest) on March 26, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Guest (Guest) on June 11, 2026

NI HATAR

Lucy Wangui (Guest) on March 13, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Victor Kamau (Guest) on February 5, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Sultan (Guest) on February 5, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Jane Muthui (Guest) on January 20, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Esther Cheruiyot (Guest) on January 10, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on January 4, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on December 26, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

David Ochieng (Guest) on December 25, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Charles Mchome (Guest) on November 9, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Andrew Mahiga (Guest) on September 1, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Guest (Guest) on June 28, 2026

mbosi anauliza wa fundi hio simentinikalisanaeti mufanyakazi akamujibu mbosihaunamwili

Linda Karimi (Guest) on August 26, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Frank Macha (Guest) on August 10, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Grace Wairimu (Guest) on July 18, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Andrew Mchome (Guest) on July 8, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Guest (Guest) on April 18, 2026

Tena

Guest (Guest) on April 18, 2026

Tena

Edward Chepkoech (Guest) on June 16, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Joseph Mallya (Guest) on May 29, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Robert Okello (Guest) on May 5, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on April 24, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Edith Cherotich (Guest) on April 16, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Shamsa (Guest) on March 8, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on February 13, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on February 8, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Patrick Akech (Guest) on January 29, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Frank Sokoine (Guest) on December 25, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 12, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

David Nyerere (Guest) on November 30, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Irene Akoth (Guest) on November 22, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on November 2, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Sumaye (Guest) on October 21, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Richard Mulwa (Guest) on October 20, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Ruth Kibona (Guest) on October 14, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on October 1, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Margaret Anyango (Guest) on September 19, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Peter Mugendi (Guest) on September 11, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Muslima (Guest) on September 5, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Mtumwa (Guest) on August 20, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Peter Mbise (Guest) on August 12, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Jackson Makori (Guest) on August 11, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Related Posts

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About