Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Featured Image
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe kionjo kidogo tu GIRL: Enhee… BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi zima la ng'ombe napeleka kwa babu yako GIRL: Ooh baby u care.. BOY: Siyo hivyo tu, baba yako ntamnunulia Range Rover Sport na mama mkwe ntampa Range Rover Evoque GIRL: Baby u are awesome… BOY: Halagu mdogo wako wa kiume ntampa Prado Tx, na hapo nimesukutua tu mdomo sijaanza kula…. GIRL: Enhee…na sisi?? BOY: Sisi tutachukua mtaa mzima Oysterbay, kila wiki tutaishi nyumba tofauti Halafu siku ya harusi yetu tutakodi zile meli zinabeba makontena ndiyo iwe ukumbi wetu, itatupeleka hadi Maldives GIRL: Baby I love you BOY: Tukitoka hapo tunaenda honeymoon Bahamas….halafu tunaenda Taiwan shopping ya fenicha, kisha Japan shopping ua electronics, halafu tunaenda Dubai nikununulie vito vya thamani GIRL: Ooh my sweetheart…halafu tukitoka huko?? BOY: Tukitoka huko nachukua ndoo ya maji nakumwagia uzinduke usingizini na ndoto yako imeishia hapo
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Lucy Wangui (Guest) on July 22, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Guest (Guest) on September 28, 2025

Mkuu fundisana UTENGWE

Lydia Mahiga (Guest) on June 8, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on May 17, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Jane Malecela (Guest) on April 28, 2024

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on April 13, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Frank Sokoine (Guest) on April 3, 2024

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on March 31, 2024

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

James Malima (Guest) on March 21, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Faith Kariuki (Guest) on March 17, 2024

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Samuel Were (Guest) on February 21, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Guest (Guest) on October 13, 2025

Kweli mnakipaji

David Nyerere (Guest) on February 15, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Joseph Kiwanga (Guest) on February 12, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Nancy Kabura (Guest) on February 1, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Mwanaidi (Guest) on January 28, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Sarafina (Guest) on January 17, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

James Malima (Guest) on December 6, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on November 27, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Nora Lowassa (Guest) on October 13, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on September 1, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Thomas Mtaki (Guest) on August 11, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mustafa (Guest) on August 7, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Carol Nyakio (Guest) on July 23, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Charles Mchome (Guest) on July 18, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Zakaria (Guest) on July 7, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Nora Kidata (Guest) on June 30, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Richard Mulwa (Guest) on June 29, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Abdillah (Guest) on May 25, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Victor Kimario (Guest) on May 14, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Sarah Mbise (Guest) on April 24, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on March 26, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Charles Mrope (Guest) on March 5, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on February 28, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Majid (Guest) on February 22, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Janet Mwikali (Guest) on February 16, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ann Awino (Guest) on January 8, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on December 27, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

James Mduma (Guest) on December 27, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

John Lissu (Guest) on December 27, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Andrew Mchome (Guest) on December 9, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on December 7, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Binti (Guest) on November 25, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Dorothy Nkya (Guest) on November 19, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on October 24, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Anna Malela (Guest) on October 20, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Martin Otieno (Guest) on October 10, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Catherine Naliaka (Guest) on October 7, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Faiza (Guest) on September 20, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Amani (Guest) on September 19, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Anthony Kariuki (Guest) on September 3, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on August 20, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

David Musyoka (Guest) on August 10, 2022

😊🀣πŸ”₯

Peter Mbise (Guest) on June 17, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on June 5, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Nashon (Guest) on May 23, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Patrick Kidata (Guest) on May 11, 2022

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Janet Sumari (Guest) on April 6, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on March 16, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Maimuna (Guest) on January 24, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Related Posts

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

πŸ“– Explore More Articles