Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Featured Image

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ameripoti polisi akajibu "sijaripoti bado, mwizi mwenyewe hamfikii matumizi kama mke wangu.

Cheka kidogo

Njia rahisi kusahau matatizo yako (japo kwa muda mfupi) vaa viatu vinavyokubana.

Mlizi mbio mbio

Tulikuwa bar moja jana mlinzi kaingia spidi, akamwambia jamaa mmoja aliyekaa kaunta, Mlinzi: Mzee gari lako limeibiwa Mzee: Umemtambua aliyeiba? Mlinzi: Hapana lakini nimeandika namba za gari hizi hapa.

13, 13…

Jamaa alikuwa anapita nje ya wodi ya vichaa akasikia mtu anasema, 13, 13, 13, 13, 13, 13,….. akaamua kuchungulia kwenye kitundu alichokiona ajue kuna nini, ile kuchungulia tu akamwagiwa mchanga wa machoni, sauti ikabadili ikaanza 14,14,14,14,14……

WATAALAM

Jamaa alikuwa anaumwa sana, mkewe akamwita daktari, alipofika akamkuta jamaa kafumba macho;
Dokta: Huyu mbona amekwisha kufa?
Jamaa: Sijafa bwana
Mke: Hebu nyamaza bwana acha kubishana na wataalamu.

Ya leo mgonjwa

Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliyepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?"
Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh?
Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.

4WD

Mwanaume alimnunulia pete ya almasi mkewe, rafiki akauliza "si ulisema anapenda gari yenye four wheel drive, mbona umenunua pete?" Mume akajibu "unadhani wapi ntapata rav4 feki?"

Ajali ilivyotokea

Trafiki polisi akihoji palipotokea ajali "ahaa! Sasa naanza elewa embu nielezee jinsi ajali ilivyotokea wewe ukiwa kama dereva mhusika." Dereva akajibu "hata sikumbuki nlifumba macho"

Faini ya kukojoa

Polisi alimdaka jamaa anakojoa pembezoni mwa ukuta.
Polisi: Wewe unajua panakatazwa kukojoa hapa?
Jamaa: Sasa nimebanwa nifanyaje?
Polisi: Faini yake elfu tano.
Jamaa akatoa noti ya elfu 10.
Polisi: Sasa chenji tunaipataje?
Jamaa: Tafuta chenji unipe changu.
Polisi: Basi kojoa tena…

Mume anaenda kazini

Jamaa kaamka asubuhi sana Jumamosi, mvua inanyesha kang'ang'ania kuwa anaenda ofisini. Kawasha gari yake, kufika njiani hali ilikuwa mbaya kaamua kurudi. Kafika home kavua nguo kaingia tena kitandani, kamnong'oneza mkewe aliyekuwa usingizini; "Yaani hali ya hewa huko nje mbaya sana" Mke: Si ndio nimemshangaa huyu mpumbavu eti kaenda kazini…

Hasira za mtoto

Baba na mtoto:
Baba: Mwanangu ukiwa na hasira unafanya nini?
Mtoto: Naenda chooni.
Baba: Chooni? Kufanya nini?
Mtoto: Kusafisha.
Baba: Halafu ndio hasira zinaisha?
Mtoto: Ndio. Nasafisha choo kwa mswaki wako.

Mgonjwa na Dokta

Mgonjwa: Dokta nimekuja nahisi ninaumwa Malaria na kifua.
Dokta: Sasa ushajua unaumwa nini hapa umefuata nini kwangu?
Mgonjwa: Sasa si nimekuja kwa dokta.
Dokta: Wanaojua kuwa wanaumwa kama wewe wanapitiliza maabara.

Pilau la bachela

Bachela mmoja aliyekua akiishi kwa muda mrefu peke yake kwenye nyumba aliyopanga siku moja alitaka kupika pilau kwa mara ya kwanza. Sasa asijue nini kinachobadilisha rangi ya wali kuwa rangi ya brown, yeye akapika kama kawaida (wali) kisha wakati wa kula akavaa miwani yenye rangi ambayo ukiuangalia wali unauona kama pilau wakati anakula.

Mwizi na chizi

Mwizi kaiba TV na kuanza kukimbia nayo, kumbe ile nyumba mlikuwa na chizi, akaanza kumkimbiza yule mwizi. Kila mwizi akiongeza mbio chizi nae huyo, mwishowe mwizi akasalimu amri na kusimama, yule chizi akamsogelea na kumwambia.. Daah umesahau remote hii hapa mwizi kafleti.

Chemsha bongo

Baba akimuuliza chemsha bongo mwanae anayesoma shule ya chekechea "haya niambie kitu gani hakiwezi kuliwa wakati wa breakfast?" Mtoto akajibu "hiyo mbona rahisi baba, si lunch na dinner"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Susan Wangari (Guest) on May 22, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Guest (Guest) on January 29, 2026

Juliana cheyo

Guest (Guest) on December 27, 2025

Enzi zip?

James Kawawa (Guest) on May 9, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Isaac Kiptoo (Guest) on May 4, 2024

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Esther Nyambura (Guest) on April 13, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on March 26, 2024

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Nancy Kabura (Guest) on January 18, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on January 12, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Betty Akinyi (Guest) on November 1, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Faith Kariuki (Guest) on October 19, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Catherine Naliaka (Guest) on October 11, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on October 2, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Janet Mbithe (Guest) on September 11, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on September 6, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

James Kawawa (Guest) on July 4, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Paul Kamau (Guest) on June 25, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Jackson Makori (Guest) on May 24, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on May 18, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on May 11, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on April 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Guest (Guest) on December 24, 2025

Chemsha bongo

Jackson Makori (Guest) on April 20, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on April 14, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Guest (Guest) on January 25, 2026

OY OY

Isaac Kiptoo (Guest) on April 13, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on March 25, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on March 21, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Mary Sokoine (Guest) on December 28, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Elizabeth Mrope (Guest) on December 14, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Ruth Mtangi (Guest) on December 12, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samuel Omondi (Guest) on December 12, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on December 4, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Fadhili (Guest) on December 2, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Janet Mwikali (Guest) on November 12, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on November 11, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Richard Mulwa (Guest) on November 7, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

George Tenga (Guest) on November 4, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Monica Nyalandu (Guest) on October 18, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on October 14, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on September 19, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Mwanahawa (Guest) on August 11, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Zakaria (Guest) on August 4, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Victor Sokoine (Guest) on July 31, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on June 26, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on June 15, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Agnes Lowassa (Guest) on April 29, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Anna Kibwana (Guest) on April 29, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Catherine Naliaka (Guest) on April 14, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on March 19, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Robert Okello (Guest) on March 11, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on February 7, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 3, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Abdullah (Guest) on January 7, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mustafa (Guest) on December 17, 2021

😁 Kicheko bora ya siku!

Mwanaisha (Guest) on December 10, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Ruth Mtangi (Guest) on December 9, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Wilson Ombati (Guest) on November 8, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ndoto (Guest) on November 6, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Related Posts

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Balaa la mitoto isiyopenda shule

Balaa la mitoto isiyopenda shule

SINA MBAVU NA HIKI KISA;

BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!

Baada ya mwiz kuvamia nyum... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About