Log in to access your menu with tools for managing π tasks, π₯ clients, π° finances, π learning, π personal growth, and π spirituality, all in one place!.
Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-25 18:04:02 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mtoto ni wa baba au wa mama?
Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani akae na mtoto.
MME: Akasimama akauliza hivi: Mheshimiwa hakimu hivi nikichukua ATM card nikaingiza kwenye mashine ikatoa pesa, sasa pesa zitakuwa ni za ATM au zakwangu?
Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-25 18:07:32 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani nilifanya mapenzi na dada yako, mdogo wako, rafiki yako na mama yako
Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-25 18:01:56 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, kijani. Wale wanawake wakatatizika baada ya mda wakajua ni chupi walizovaa. Wakasema basi kesho tubadilisheni. Siku ya pili wakapita tena kasuku akasema nyeusi, manjano, zambarau.
Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-25 18:04:44 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Angalia kilichotokea
Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "hii sura sio ngeni machoni mwangu sema jina tu silikumbuki..! !!
Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba
π β
Available in PDF
Updated at: 2023-04-29 22:52:53 (3 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshaharaβ¦.. Mama mwenye nyumba akamwambia msichana ampe sababu tatu za kutaka kupandishiwa mshahara.