eBooks: 1000+ Vichekesho vipya: Vichekesho vya AckySHINE - AckySHINE
Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii
Updated at: 2024-05-25 17:17:14 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!
Updated at: 2024-05-25 18:11:06 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake
Updated at: 2024-05-25 18:13:55 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.
Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"
Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"
Jamaa, "Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijana⦠naomba nirudishwe!"
Β
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo
Updated at: 2024-05-25 18:07:02 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliyepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?" Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh? Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi
Updated at: 2024-05-25 18:01:04 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili
Updated at: 2024-05-25 18:12:42 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo
Updated at: 2024-05-25 17:14:16 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga
Updated at: 2024-05-25 18:04:09 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station
"Naitwa John nimepiga simu kutangaza kuwa nimeokota wallet ndani ina laki 7, ATM Card na kikaratasi chenye PIN ya ATM Card na kijimkufu cha dhahabu kinene hiviβ¦"
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi
Updated at: 2024-05-25 18:06:39 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!,
Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=.
Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia?
Mbongo akatoa 500 kuashiria hajui.
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu
Updated at: 2024-05-25 17:00:54 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka
Updated at: 2024-05-25 18:02:56 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπ, akaenda hospital akawekewa macho ya pakaππ±,
dokta akamuuliza: vipi saizi unaona?
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao
Updated at: 2023-04-29 22:53:08 (3 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.
Utasikia, "HAYA, DADA HAPO MBELE, MJOMBA KULE MWISHO. MA-MDOGO UNAENDA?, NGOJA ASHUKE BIBI. HAYA SHEMEJI UMEIKUTA YA KUWAH. Babu njoo ukae! Baba angu hapo tusogee kidogo,
Β
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande
Updated at: 2024-05-25 18:08:32 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti kwa njia ya simu juu ya walichokikuta
ASKARI: Mkuu tumekuta mama mwenye nyumba kampiga mumewe chuma cha kichwa na kumuumiza vibaya sanaa
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake
Updated at: 2023-04-29 22:53:18 (3 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walcott
WIFE: ile Yellow Card ni ya nini?
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku
Updated at: 2024-05-25 17:09:35 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno
Updated at: 2024-05-25 17:14:09 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake
Updated at: 2023-04-29 22:53:48 (3 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Ka ni wewe?
DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao.
BABA: Kwanini unasema hivyo?
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo
Updated at: 2024-05-25 17:02:05 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Hapa itakuaje?
Updated at: 2024-05-25 17:52:43 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu
Updated at: 2023-04-29 22:53:54 (3 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambulisha 1. Naitwa Anna niko SUA mwaka3 nasoma agriculture 2. Naitwa Stella niko UDSM mwaka2 nasoma public relation
Β
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?
Updated at: 2024-05-25 18:05:22 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana."
Nikashtuka, "Astaghafilulah we mtoto! Niondolee wehu wako hapa!"
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Tabia za Kimama kwa wanaume
Updated at: 2024-05-25 16:53:11 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida
Updated at: 2024-05-25 17:07:50 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote
Updated at: 2024-05-25 17:02:40 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia
Updated at: 2024-05-25 17:05:23 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Kilichotokea Leo mahakamani
Updated at: 2024-05-25 17:04:27 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Wadada lenu hili. Mimi sipo
Updated at: 2024-05-25 17:48:57 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Hili nalo neno kwa wavulana
Updated at: 2024-05-25 16:58:03 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Hii sasa kali kweli kweli!!
Updated at: 2023-04-29 22:52:28 (3 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Angalia huyu msichana alichonifanyia
Updated at: 2024-05-25 17:11:24 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Angalia hawa kina mama, ni shida..!
Updated at: 2024-05-25 18:10:22 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida
Updated at: 2024-05-25 17:15:58 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ